The Rythim Tanzania

The Rythim Tanzania
Mwanzo ilikua Jerusalem brothers but kwa sasa tunajiita The Rythim na hii ni kwa sababu tunatumia viombo kama ma-guitar,vinanda nk

3/23/2010

MUDA SI MREFU THERYTHIM WATALETA ALBUM YAO DUKANI.

taarifa zilizopo sasa zinasema The Rythim zamani walitambuliwa kwa Jerusalem Brothers aka JB wametoa album yao ambayo humo ndani wametumia viombo mbali mbali kama guitor,vinanda nk ni album nzuri na inayovutia kuisikiliza kwa kua kuna karibu kila aina ya uimbaji humo ndani nikimaanisha stlye zote kama R&B ,nk
mashabiki wote wa gospel kaeni tayari.